Mwokozi umeokoa
1. Nimekuwa wako wewe
Damu imenisafisha;
Sifa kwa mwana kondoo.
Utukufu, Aleluya!
Sifa kwa mwana Kondoo!
Damu imenisafisha,
Utukufu kwa yesu!
2. Nilijitahidi sana
Ila sikupata raha;
Bali kwa kumtugemea
Nilipata Baraka.
Utukufu, Aleluya!
Sifa kwa mwana Kondoo!
Damu imenisafisha,
Utukufu kwa yesu!
3. Diama Namwegemea,
Damu ikifanya kazi,
Nikioga kwa chemchemi
Itokayo Mwokozi.
Utukufu, Aleluya!
Sifa kwa mwana Kondoo!
Damu imenisafisha,
Utukufu kwa yesu!
4. Sasa nimewekwa wakfu;
Nitaishi kwako wewe;
Fahari nashuhudia
Ya wokovu wa bure.
Utukufu, Aleluya!
Sifa kwa mwana Kondoo!
Damu imenisafisha,
Utukufu kwa yesu!
5. Nasimama kwake Yesu,
Ameponya roho yangu;
Ameniondoa dhambi,
Anifanye mzima.
Utukufu, Aleluya!
Sifa kwa mwana Kondoo!
Damu imenisafisha,
Utukufu kwa yesu!
6. Nalikua kifungoni,
Niliteswa na dhambi,
Nilifungwa minyororo,
Yesu akanifungua.
Utukufu, Aleluya!
Sifa kwa mwana Kondoo!
Damu imenisafisha,
Utukufu kwa yesu!
7. Sifa, ameninunua!
Sifa, nguvu za wokovu!
Sifa, Bwana huhifadhi!
Sifa zake milele.
Utukufu, Aleluya!
Sifa kwa mwana Kondoo!
Damu imenisafisha,
Utukufu kwa yesu!